Ijumaa, 29 Januari 2016

KAMATA FURSA AMBAYO HAITAKUPOTEZEA MUDA



KAMATA FURSA AMBAYO HAITAKUPOTEZEA MUDA
RIFARO AFRICA          ni kampuni mama kutoka Tanzania yenye lengo la kumsaidia mmiliki wa simu ya mkononi kuweza kunufaika na muda wa hewani anaoutumia kwa kumuingizia kipato.                                                                                                       Kampuni hili ilipata wazo hili toka mwaka 2011, lakini rasmi ilianza kulifanyia kazi mwaka 2014 mara baada ya taasisi zote muhimu kuipitia na kujiridhisha na utendaji utakaoenda kumsaidia mtumiaji wa simu kwamba uko sahihi.
BIDHAA                                                                                                               Kampuni imetuletea bidhaa makini sana, muda wa hewani yaani AIRTIME bidhaa ambayo katika hali ya sasa hivi ina umuhimu mkubwa sana, iwe ni mchana  au usiku, wakati wa shida ama raha bado tunaitumia sana. KUMBUKA SIMAANISHI KUA UNAKUWA MUUZA VOCHA BALI KWA MATUMIZI YAKO BINAFSI NA UNALIPWA.

MFUMO                                                                                                                    Rifaro Africa inaendesha biashara katika mfumo wa mtandao yaani Network marketing. Biashara ya karne ya 21, biashara ambayo inakufanya uachane na kutumia nguvu nyingi, biashara ambayo itakupatia kipato ambacho hakina kikomo, uwepo usiwepo biashara yako huendelea kuwepo.                                                                 Rifaro wameuweka mfumo huu katika vizazi 15. Utalipwa kuanzia kizazi cha 1-15   kwa uwiano tofauti kulingana na kizazi kwa kizazi.  
AINA ZA MALIPO
Malipo ya wiki                                                                                                             Haya ni malipo yanayotokana na kazi uliyoifanya wewe kwa kushirikiana na washirika wako katika biashara kuanzia kizazi cha kwanza hadi kumi na tano.
MALIPO YAPO HIVI                                                                                                 Kizazi 1: 20000/= kwa kila atakayeingia kwako moja kwa moja                                     Kizazi 2: 8000/=                                                                                                        Kizazi 3: 5000/=                                                                                                       Kizazi 4: 5000/=                                                                                                        Kizazi 5: 5000/=                                                                                                        Kizazi 6: 3000/=
Kizazi cha 7 hadi 15 utalipwa 2000 kwa kila kizazi.
Mfano kwa mwezi ukaingiza watu 10 na kila mtu kati ya hao 10 akaingiza watu 10 inaweza kuwa hivi.
1)     20000x10= 200000
2)     8000x100=800000
3)     5000x10000= 5m
4)     5000x10000= 50m
5)     5000x100000= ni zaidi ya 500m
MTAJI                                                                                                                        Kama zilivyo biashara nyingine, hii pia itakuhitaji uwekeze mtaji wa 128, 500 na utapatiwa DVD, ATM card (yenye 2000 ndani yake), kitabu cha biashara,website (kukuwezesha kuingia kwenye ofisi yako, kuona biashara yako yote) salio vocha 5000 na namba ya mwanachama.
Kwanini mtu anahitaji kujiunga na kampuni ya rifaroafrica?
·        Unalipwa fedha kwa miaka yote na hata baada ya muda wako wa kuishi.
·        Rifaro ina hadhi kubwa kwa sababu imeaminiwa na hata kufanya kazi kwa kushirikiana na makampuni ya simu nchini, yanayomiliki uchumi  wa Tanzania.
·        Inafanya kazi na selcom, kampuni kubwa duniani.
·        Rifaro inatumia ATM visa card yake wakati yenyewe sio benki.
·        Rifaro ina ofisi kila mkoa, kila wilaya nchi nzima.
·        Rifaro ni halali, imesajiliwa kisheria na mamlaka zote, TCRA, BRELA na TRA.
·        Rifaro in mawakala wa selcom machines kila kona ya nchi ya Tanzania.
·        Rifaro ni pekee kukufanya ulipwe kwa kutumia simu yako kutatua matatizo yako mwenyewe.


Una hofu gani? Unasubiri nini? Jiunge sasa na rifaro, urithi pekee kwa mwanao na vizazi vyako maana ajira yako, biashara yako na cheo chako havirithishwi ng’o line zako na biashara yako ya rifaro inarithishwa.
Karibu ujiunge kwa mawasiliano zaidi, wasiliana na mimi DICKSON SWALO kupitia
0752642389 au 0673642389